Summary
Overview
Work history
Education
Skills
Affiliations
UZOEFU WA UONGOZI
KAZI MAALUMU
Timeline
Generic
Victor Anoldi Makundi

Victor Anoldi Makundi

Marangu,Tanzania

Summary

Mimi ni mtaalamu mwenye weledi katika usimamizi wa fedha, utawala na mikakati ya maendeleo, mwenye Shahada ya Uzamili katika Usimamizi wa Biashara (MBA – Corporate Management) na umahiri wa CPA. Nina uzoefu mpana katika uongozi wa kisiasa na kijamii kupitia UVCCM na CCM, ambapo nimechangia maandalizi ya Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2025–2030 na kushiriki katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 kama sehemu ya timu za awali (Advance team) za Mheshimiwa Raisi. Ni kiongozi makini, mwenye dira, ninayejali matokeo na nina uwezo wa kuchanganya taaluma, uongozi na uzalendo katika kuleta maendeleo endelevu ya kijamii na kiuchumi. Takes on challenging new role harnessing interpersonal skills, collaboration and problem-solving. Driven to deliver high-quality service and consistent results.

Overview

11
11
years of professional experience
2037
2037
years of post-secondary education

Work history

Mkuu wa Utawala

POLYGOLD
01.2024 - 11.2025

Meneja Utawala na fedha (Finance and Administration Manager)

Sereniva Company ltd
01.2018 - 01.2023

Mhasibu wa kodi

HR world company
01.2019 - 01.2020

Mhasibu

Exact Manpower Consulting ltd
01.2017 - 01.2018

Mafunzo kwa vitendo

TRA-Kinondoni
01.2016 - 01.2017

Afisa(Enumerator/Evaluator)

World Vision Tanzania
01.2015 - 01.2016

Education

Shahada ya uzamili katika utawala na usimamizi wa biashara katika mashirika (MBA-CM) -

Mzumbe Ndaki ya Dar es salaam

CPA (T) 2022 (Certified Public accountant) - undefined

Bodi ya wahasibu na wakaguzi wa Hesabu Tanzania(NBAA)

Shahada ya kwanza ya uhasibu na fedha (Bachelor of accounting and finance (BAF)) - undefined

Chuo Kikuu MZUMBE
01.2014 - 01.2017

Elimu ya juu Sekondari - undefined

Umbwe Sekondari
01.2012 - 01.2014

Elimu ya Sekondari - undefined

Mboni Sekondari
01.2008 - 01.2011

Elimu ya msingi - undefined

Komakundi shule ya Msingi
01.2001 - 01.2007

Skills

  • Uongozi na Usimamizi
  • Uandishi wa Nyaraka Rasmi na Kitaalamu
  • Uhusiano kwa Umma na Ushirikiano na Wadau
  • Uchanganuzi wa Sera na Masuala ya Kiuchumi
  • Mawasiliano na Ushawishi
  • Uandaaji na Utekelezaji wa Mipango ya Kimkakati
  • Ufuatiliaji na Tathmini (M&E)
  • Usimamizi wa Migodi na Mazingira
  • Ushauri wa Kifedha na Kiuchumi (Utaalamu wa CPA)

Affiliations

  • Mwanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kadi Na. AG 6029654, nambari ya Uanachama kwenye mfumo wa kieletroniki wa CCM C0000-3685-375-1
  • Mwanachama wa Umoja wa Vijana (UVCCM) kadi Na. 1218876

UZOEFU WA UONGOZI

  • Mjumbe wa baraza kuu la UVCCM Taifa kutoka mkoa wa Kilimanjaro 2022-2027
  • Mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM Taifa 2022-2027
  • Mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM mkoa wa Kilimanjaro 2022-2027
  • Mjumbe wa baraza kuu la UVCCM mkoa wa Kilimanjaro 2022-2027
  • Mwenyekiti kamati ya kuandaa mapendekezo ya ilani ya CCM 2025-2030- kundi la vijana.
  • Mgombea nafasi ya ubunge 2020 kupitia CCM, Jimbo la Vunjo wilaya ya Moshi Vijijini Mkoa Kilimanjaro(Mshindi wa sita(6) kati ya watu thelathini na nane(38) kwenye kura za maoni Ndani ya chama cha Mapinduzi (CCM)
  • Mgombea Ujumbe wa halmashauri kuu ya CCM Taifa kupitia kundi la vijana(UVCCM) 2017.
  • Naibu Spika Bunge la wanafunzi Chuo Kikuu Mzumbe (MUSRC) 2015-2016
  • Mkuu wa Itifaki Bunge la wanafunzi Chuo kikuu Mzumbe 2016-2017
  • Mjumbe wa kamati ya fedha na mipango bunge la wanafunzi Mzumbe-2015
  • Mbunge wa bunge la wanafunzi chuo kikuu Mzumbe 2015
  • Mhazini Yuna Tanzania-Umbwe sekondari-2012-2014
  • Kiongozi wa kamati ya afya na Chakula Umbwe sekondari 2012-2014
  • Mshauri msaidizi kituo cha watoto yatima (USAGOU) umbwe sekondari-2012-2014.

KAZI MAALUMU

  • Nilikuwa sehemu ya Timu za awali (Advance Team) ya mgombea Uraisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.
  • Mwenyekiti Kamati ya kuandaa mapendekezo ya ilani ya CCM 2025-2030, kutoka kundi la vijana, kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.
  • Mkufunzi wa Viongozi wa CCM ngazi ya Kata na Matawi kwa ajili ya uchaguzi wa ndani ya chama kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, katika wilaya za Mkalama, Iramba, Mbinga na Songea
  • Mkufunzi wa mawakala wa chama cha mapinduzi katika uchaguzi mkuu wa Raisi,Wabunge na madiwani mwaka 2020 katika wilaya za Mkoa wa Kilimanjaro

Timeline

Mkuu wa Utawala

POLYGOLD
01.2024 - 11.2025

Mhasibu wa kodi

HR world company
01.2019 - 01.2020

Meneja Utawala na fedha (Finance and Administration Manager)

Sereniva Company ltd
01.2018 - 01.2023

Mhasibu

Exact Manpower Consulting ltd
01.2017 - 01.2018

Mafunzo kwa vitendo

TRA-Kinondoni
01.2016 - 01.2017

Afisa(Enumerator/Evaluator)

World Vision Tanzania
01.2015 - 01.2016

Shahada ya kwanza ya uhasibu na fedha (Bachelor of accounting and finance (BAF)) - undefined

Chuo Kikuu MZUMBE
01.2014 - 01.2017

Elimu ya juu Sekondari - undefined

Umbwe Sekondari
01.2012 - 01.2014

Elimu ya Sekondari - undefined

Mboni Sekondari
01.2008 - 01.2011

Elimu ya msingi - undefined

Komakundi shule ya Msingi
01.2001 - 01.2007

CPA (T) 2022 (Certified Public accountant) - undefined

Bodi ya wahasibu na wakaguzi wa Hesabu Tanzania(NBAA)

Shahada ya uzamili katika utawala na usimamizi wa biashara katika mashirika (MBA-CM) -

Mzumbe Ndaki ya Dar es salaam
Victor Anoldi Makundi