Summary
Overview
Work History
Education
Skills
Lugha
Uzoefu wa Kisiasa na Kazi
Uongozi
Awards
Uwezo wa Kompyuta
Hobbies and Interests
Kazi Ambazo Hazijachapishwa
Timeline
Generic
Sunday Evanus Beebwa

Sunday Evanus Beebwa

Summary

Kushirikiana na Wanajamii na Wapiga Kura kuliongoza Jimbo la Kyerwa katika namna inayolenga kufanikisha Mpango Mkakati wa Jimbo

Overview

21
21
years of professional experience

Work History

Mtaalam Mshauri wa Elimu ya Mabadiliko ya Tabia ya Jamii (SBC)

Tanzania Communication and Development Center (TCDC)
01.2023 - Current
  • Kuwasimamia wafanyakazi wa mradi, na kushirikisha Wizara ya Afya na wadau wengine.
  • Kuandaa na kusimamia bajeti ya mradi ili kuhakikisha utekelezaji bora na thamani ya fedha.
  • Kuratibu maendeleo na utekelezaji wa makakati jumlishi wa unaoendana na malengo ya mradi.
  • Kuandaa mpango kazi wa mradi wakila mwaka.
  • Kuwakilisha mradi kwenye mikutano,warsha na semina zinazohusu mradi.
  • Kuwashirikisha wadau kwa kutumia mbinu za kisasa, shirikishi na zinazomlenga mtu binafsi na jamii kwa ujumla.
  • Kuongoza maandalizi ya mapitio ya taarifa zote za mradi kulingana na mpango wa ufuatiliaji na tathmini (MEL).
  • Mradi wa Afya Thabiti (Mikoa ya Mara, Simiyu na Zanzibar)

Mshauri Na Mwezeshaji (Consultant and Facilitation

Nimejiajiri
03.2021 - Current
  • Mshauri binafsi kwenye Elimu ya Mabadiliko ya Tabia ya Jamii wa Mradi wa TEMT kuhusu Malaria, mradi ulioendeshwa na Taasisi ya Swiss TPH mwezi Aprili 2022.
  • Ushauri wa Ufuatiliaji na Tathmini wa Mkakati wa ZACEP uliofadhiliwa na UNICEF kupitia Kitengo cha Uhamasishaji Afya chini ya Wizara ya Afya Zanzibar, mwezi Februari 2022.
  • Mteuliwa kuwa Mjumbe wa Kamati ya Maandalizi ya Mpango Mkakati wa nne kupambana UKIMWI Zanzibar (Strategic Plan IV) wa Tume ya UKIMWI Zanzibar wa 2021.
  • Mjumbe wa Jarida la Jihadhari kuhusu UKIMWI, linalotolewa kila mwaka na Tume ya UKIMWI Zanzibar (ZAC) kuanzia mwaka 2021 hadi leo.
  • Mwezeshaji Aliyeidhinishwa na TACAIDs kwa Programu ya "Messages of Hope" (Ujumbe wa Matumaini) kwa Jumuia za Dini Tanzania mwaka 2021.

Mtaalam Mshauri wa Elimu ya Mabadiliko ya Tabia ya Jamii (SBC) na Usawa

TCDC
01.2022 - 01.2023
  • Kutoa msaada wa kiufundi na uongozi wa ngazi ya juu ya udhibiti wa malaria kwa njia ya Elimu ya Mabadiliko ya Tabia ya Jamii
  • Kukuza mbinu, mipango, kampeni na majukwaa ya Elimu ya Mabadiliko ya Tabia ya Jamii kwa kuzingatia usawa.
  • Kujenga uwezo wa wafanyakazi, wadau na washirika wa ndani katika hatua zote za mradi.
  • Kuandaa bajeti, maeneo ya kazi na kufuatilia utekelezaji wa shughuli Elimu ya Mabadiliko ya Tabia ya Jamii zinazozingatia usawa katika kupambana na Malaria.
  • Kufuatilia na kuchambua maendeleo ya usawa wa kijinsia wakati wa utekelezaji wa mradi.
  • Kuandaa kampeni kwa kutumia nadharia na mbinu za ushahidi kwa kushirikiana na kamati za usimamizi wa Afya ngazi za Taifa, Mikoa, Wilaya, serikali za mitaa na wadau wengine.
  • Kufuatilia na kutoa taarifa za viashiria vya kijinsia na kuchambua takwimu kwa misingi ya jinsia kwa viashiria vyote.
  • Kuhakikisha uzingatiaji wa muda na ubora wa maudhui ya mradi wa mabadiliko ya Tabia ya Jamii na Usawa katika mradi.
  • Mradi wa USAID (Shinda) Defeat Malaria, mikoa ya Katavi na Kagera

Afisa Mradi wa Elimu ya Mabadiliko ya Tabia ya Jamii (SBC)

TCDC
01.2019 - 01.2022
  • Kupanga, kubuni, kuandaa bajeti, kuratibu, kutekeleza na kufuatilia ubora wa shughuli zinazofanywa na wafanyakazi na wahudumu wa afya ngazi ya jamii (CHW)
  • Kuratibu utekelezaji wa Mpango wa Jamii za Kidini kupitia Ofisi ya Mufti wa Zanzibar na Kanisa la Anglikana Zanzibar.
  • Kuratibu programu ya Kuwafundisha Wavulana kuwa Wanaume Wanaowajibika (CBIM) kwa wavulana wa shule.
  • Kuandaa vifa vya mafunzo na kutoa mafunzo kwa CHWs, wafanyakazi, maafisa wa serikali, na mashirika ya kijamii (CBOs).
  • Kufanya usimamizi shirikishi kwa wafanyakazi, CBO, CHWs na watumishi wa mradi na kutoa mafunzo kupitia vikao vya mrejesho.
  • Kuwakilisha TCDC katika mikutano inayoratibiwa na Amref Health Africa, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) na wadau wa mradi.
  • Kuratibu na kuandaa utekelezaji wa mpango wa COVAX ili kuongeza matumizi ya chanjo ya UVIKO-19 kwa watu wanaoishi na VVU na jamii kwa ujumla.
  • Kuandaa na kushirikisha taarifa za Elimu ya Mabadiliko ya Tabia ya Jamii kwa Mradi wa Afya Kamiliifu.
  • Zanzibar

Mkufunzi wa Masomo ya Usimamizi wa Rasilimali Watu

TPSC
01.2017 - 01.2018
  • Kuandaa mtaasari ya kozi, miongozo ya mafunzo, na mpango wa tathmini.
  • Kufundisha mihadhara, semina, kuandaa mitihani, kazi za darasani, na mazoezi.
  • Kusimamia kazi za wanafunzi, mawasilisho, na kufanya tathmini kupitia mitihani na kazi mbalimbali.
  • Kusimamia mitihani, semina na kazi za darasani kulingana na ratiba na kufanya usahihishaji pamoja na kutoa matokeo.
  • Kuingia alama za wanafunzi kwenye mfumo wa TPSC na kuandaa taarifa za tathmini ya wanafunzi.
  • Mtwara

Meneja wa Uendeshaji wa Kanda

PSI
01.2016 - 01.2018
  • Kusimamia rasilimali watu wa kanda, fedha na nyenzo zote za miradi na shughuli za programu za kanda.
  • Kuliwakilisha shirika la PSI katika vikao na matukio Mbalimbali kwenye wilaya na mikoa.
  • Kuandaa na kufanya mapitio ya bajeti za kanda na mipango kazi ya kila mwaka.
  • Kuandaa na kuwasilisha taarifa za kila mwezi na robo mwaka.
  • Mtwara & Lindi; Shinyanga, Simiyu, Tabora & Kigoma; Mwanza, Mara & Geita

Mratibu wa Mawasiliano wa Kanda ya Kusini

PSI
01.2014 - 01.2015
  • Kupanga, kubuni, kupitisha, kudhinisha, kuratibu, kutekeleza, kufuatilia na kutathmini shughuli za mawasiliano zinazofanywa na wafanyakazi na wasambazaji wa bidhaa na huduma.
  • Kusimamia shughuli za Elimu ya Mabadiliko ya Tabia ya Jamii (SBC) na uhamasishaji wa utumiaji wa huduma kwa jamii.
  • Kuandaa na kupanga ratiba za vikao vya mrejesho na mafunzo kazini.
  • Kushiriki katika maandalizi ya vifa vya mafunzo na kutoa mafunzo ya marudio kwa wafanyakazi, waelimishaji rika na wasambazaji.
  • Kuandaa taarifa za shughuli za mawasiliano za miradi.
  • Mbeya, Ruvuma, Iringa, Njombe, Rukwa na Katavi

Mchambuzi wa Ubora

Zain/Airtel na ISON BPO (T) Tanzania
01.2010 - 01.2013
  • Kufanya tathmini ya utendaji kazi wa wafanyakazi na kubaini mahitaji ya mafunzo (Training Needs Assessment).
  • Kuendesha vikao vya mrejesho na kutoa mafunzo kwa mujibu wa mahitaji yaliyoainishwa.
  • Kuandaa mipango ya kuboresha utendaji kazi (Performance Improvement Plans - PIP) na kuchukua hatua stahiki kwa wafanyakazi wanaoendelea kufanya vibaya.
  • Kuandaa taarifa za ukaguzi wa utendaji kazi wa wafanyakazi.
  • Dar es salaam

Afisa wa Huduma kwa Wateja

Celtel Tanzania
01.2005 - 01.2006
  • Kupokea malalamiko na hoja za wateja kupitia simu na kuzitatua ipasavyo.
  • Kutambua na kuripoti matatizo yanayojirudia au changamoto za kiufundi zinazowasilishwa na wateja pamoja na kuwapatia mrejesho.
  • Kuuza na kutangaza ofa mpya au zilizopo kwa wateja kwa ajili ya kuongeza mahitaji ya huduma.

Education

MSc - Sera ya Maendeleo na Utendaji kwa Asasi za Kiraia

Chuo Kikuu cha Bradford
01.2012

Cheti cha Kidato cha Sita - undefined

Shule ya Sekondari ya Kibiti

Cheti cha Kidato cha Nne - undefined

Shule ya Sekondari ya Rwamabazi

Cheti cha Elimu ya Msingi - undefined

Shule ya Msingi Igurwa

Skills

  • Cheti cha Kozi ya "Stay Safe" kutoka Shirika la Msalaba Mwekundu la Kimataifa (IFRC), 2018
  • Vyeti vya Ustadi wa Lugha ya Kiingereza (Advanced & Upper Intermediate) kutoka ABA, 2018
  • Mafunzo ya Usalama na Afya Kazini kutoka OSHA – Mamlaka ya Usalama na Afya Kazini Tanzania, 2018
  • Mafunzo ya Mbinu za Utekelezaji wa Miradi Zinazobadilika (Adaptive Implementation) na Uandishi wa Hadithi za Mafanikio ya Miradi kutoka PSI, 2017
  • Mafunzo ya Huduma kwa Wateja Celtel mwaka 2005 na Cheti cha Huduma kwa Wateja kutoka Marketing Class Tanzania, mwaka 2009

Lugha

Mzoefu wa kuandika, kusoma na kuzungumzaKiingereza na Kiswahilikwaufasaha
Uwezo bora wa kuandika, kusoma na kuzungumzalughayangu ya asili – Kinyambo

Uzoefu wa Kisiasa na Kazi

  • Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi tangu 2006
  • Mwimbaji wa mitaani wa nyimbo zisizorekodiwa za chama tangu 2001
  • Mjumbe wa Kamati ya Siasa na Maadili katika Taasisi ya Ustawi wa Jamii (ISW) Dar es Salaam kuanzia 2006 hadi 2009
  • Mtunzi na msanii wa nyimbo tatu za Chama Cha Mapinduzi na viongozi zilizokamilika 2025
  • Mtia nia wa Ubunge Jimbo la Kyerwa 2025-2030

Uongozi

  • Katibu wa Chama cha Wafanyakazi wa Mawasiliano katika tawi la ISON BPO (T) LIMITED, 2012–2013
  • Naibu Waziri wa Fedha, Uchumi na Mipango katika Serikali ya Wanafunzi wa Chuo cha Ustawi wa Jamii (ISWOSO), 2008–2009
  • Mjumbe wa Bunge la Wanafunzi wa Chuo cha Ustawi wa Jamii (ISWOSO), 2006–2007
  • Kiongozi wa Miradi ya Uzalishaji katika Shule ya Sekondari ya Rwamabazi, 2001–2002

Awards

Tuzo ya PEPFAR ya Mbinu Bora za Utekelezaji (Best Practice Award) ya mwaka 2024.


Tuzo ya Mfanyakazi bora kutoka Airtel Tanzania, mwaka 2010.


Tuzo ya Mshindi wa Kwanza Kitaifa ya Kazi za Fasihi kutoka UWAVITA, mwaka 2005. 


Tuzo ya Mshindi wa Pili Kitaifa ya Kazi za Fasihi kutoka UWAVITA, mwaka 2004.


Vyeti vya Uongozi bora kama Mwakilishi wa darasa na Waziri katika serikali ya wanafunzi ya Taasisi ya Ustawi wa Jamii (ISWOSO) vya 2009.


Cheti cha Uongozi Bora wa Miradi kutoka Shule ya Sekondari ya Rwamabazi, mwaka 2002. 


Cheti cha ubora katika Somo la Kiswahili kutoka Shule ya Sekondari ya Rwamabazi, mwaka 2002.

Uwezo wa Kompyuta

Uelewa wa matumizi ya programu za Microsoft Word, Excel, PowerPoint na Outlook

Hobbies and Interests

Kuandika kazi za fasihi, uimbaji wa kwaya, na uandishi wa kazi za kifasihi

Kazi Ambazo Hazijachapishwa

  • Mbinu Bora za Ukimwi kupambana na janga la UKIMWI ngazi ya jamii katika mikoa ya Mara, Simiyu na Zanzibar mwaka 2024
  • Muhtasari kuhusu matumizi ya programu ya simu ya mkononi katika kufuatilia kwa wakati na kufanya usimamizi wa huduma za mama na mtoto katika vituo vya afya, uliowasilishwa kwenye Mkutano wa Kisayansi wa Mwaka 2021 RMNCAH Dar es Salaam, Tanzania
  • Tasnifu kuhusu Mchango wa Uwekezaji katika Sekta ya Mawasiliano ya Simu katika Kupunguza Ukosefu wa Ajira Tanzania ya mwaka 2009
  • Tasnifu kuhusu Tathmini ya Sababu Zinazozuia Ukuaji wa Vyama vya Wafanyakazi Tanzania ya mwaka 2013

Timeline

Mtaalam Mshauri wa Elimu ya Mabadiliko ya Tabia ya Jamii (SBC)

Tanzania Communication and Development Center (TCDC)
01.2023 - Current

Mtaalam Mshauri wa Elimu ya Mabadiliko ya Tabia ya Jamii (SBC) na Usawa

TCDC
01.2022 - 01.2023

Mshauri Na Mwezeshaji (Consultant and Facilitation

Nimejiajiri
03.2021 - Current

Afisa Mradi wa Elimu ya Mabadiliko ya Tabia ya Jamii (SBC)

TCDC
01.2019 - 01.2022

Mkufunzi wa Masomo ya Usimamizi wa Rasilimali Watu

TPSC
01.2017 - 01.2018

Meneja wa Uendeshaji wa Kanda

PSI
01.2016 - 01.2018

Mratibu wa Mawasiliano wa Kanda ya Kusini

PSI
01.2014 - 01.2015

Mchambuzi wa Ubora

Zain/Airtel na ISON BPO (T) Tanzania
01.2010 - 01.2013

Afisa wa Huduma kwa Wateja

Celtel Tanzania
01.2005 - 01.2006

Cheti cha Kidato cha Sita - undefined

Shule ya Sekondari ya Kibiti

Cheti cha Kidato cha Nne - undefined

Shule ya Sekondari ya Rwamabazi

Cheti cha Elimu ya Msingi - undefined

Shule ya Msingi Igurwa

MSc - Sera ya Maendeleo na Utendaji kwa Asasi za Kiraia

Chuo Kikuu cha Bradford
Sunday Evanus Beebwa