Summary
Overview
Work History
Education
Skills
Accomplishments
Timeline
Generic
EMMANUEL PETER  CHEREHANI

EMMANUEL PETER CHEREHANI

Kahama

Summary

Mimi ni Kiongozi mwenye uzoefu mkubwa katika siasa na utumishi wa umma, nikiwa Mbunge wa Jimbo la Ushetu tangu 2021.

Nina rekodi ya mafanikio katika kusimamia na kuratibu miradi ya maendeleo ikiwemo elimu, afya, maji, barabara na ushirikiano kati ya wananchi na serikali. Pia nimehudumu kwenye ngazi mbalimbali za chama na bunge, nikionyesha uwezo wa kufanya kazi kwa timu, uaminifu, uwajibikaji na ushawishi katika kuleta maendeleo kwa jamii.

Overview

14
14
years of professional experience

Work History

MBUNGE JIMBO LA USHETU

BUNGE LA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
DODOMA
10.2021 - Current
  • I. Nimefanikisha ujenzi wa shule za msingi na sekondari ili kuboresha elimu kwa wananchi.
    II. Nimesimamia na kuratibu ujenzi wa madaraja muhimu kwa kurahisisha usafiri.
    III. Nimefuatilia utekelezaji wa Mradi wa Maji wa Ziwa Victoria unaowapelekea wananchi maji safi.
    IV. Nimehimiza ujenzi na ukarabati wa barabara ndani ya jimbo.
    V. Nimeunganisha wananchi na serikali kwa kuhakikisha kero na maombi yao yanashughulikiwa.
    VI. Nimechangia kuboresha huduma za afya kwa kusaidia ukarabati na ujenzi wa vituo vya afya.
    VII. Nimehamasisha uwezeshaji wa vijana na wanawake kupitia programu na mikopo midogo.
    VIII. Nimeendeleza ushirikiano na wadau na taasisi za serikali ili kuongeza miradi ya maendeleo.
    IX. Nimefanya mikutano ya hadhara kusikiliza na kutatua changamoto za wananchi kwa uwazi.
    X. Nimewezesha upatikanaji wa pembejeo na huduma za kilimo kwa wakulima wa jimbo.
    XI. Nimeunga mkono jitihada za kuongeza ajira kwa vijana kwa miradi ya kijamii na ujasiriamali.
    XII. Nimehimiza upatikanaji wa huduma bora za afya ya mama na mtoto.
    XIII. Nimefanya ufuatiliaji wa karibu kuhakikisha fedha za miradi ya maendeleo zinatumika ipasavyo.

MWENYEKITI

TOBACCO COOPERATIVE JOINT ENTREPRISE (TCJE)
Morogoro
01.2016 - 10.2021

i.kufanikisha mchakato wa ununuzi wa pembejeo kwa pamoja katika msimu wa 2020/2021.


MWENYEKITI

TANZANIA TOBOCCO COUNCIL.
Morogoro.
01.2018 - 09.2021

i. kuongoza vikao vya Halimashauri ya tumbaku Tanzania na kutoa mapendekezo ya namna bora ya kuongeza uzalishaji wa zao la tumbaku nchini ili kupata bei yenye tija.

ii.. kushiriki katika kusimamia na kuhakikisha watoto walio chini ya miaka 18 hawashiriki katika uzalishaji wa Tumbaku.

iii.kufanikiwa kuyashawishi makampuni ya ununuzi wa tumbaku nchini kuongeza uzalishaji wa zao la tumbaku.

MJUMBE WA BODI.

TOBACCO RESEARCH INSTITUTE OF TANZANIA (TORITA)
TABORA
01.2016 - 09.2021

i.kushiriki vikao mbalimbali vya wadau kujadili changamoto na kutoa mapendekezo yatakayosaidia kuboresha zao la Tumbaku nchini, ikiwemo kuongeza utafiti katika upatikanaji wa mbegu bora za tumbaku pamoja na matumizi sahihi ya mbolea.

MWENYEKITI

KAHAMA COOPERATIVE UNION LTD.
SHINYANGA
04.2014 - 08.2021

i.kuanzisha mfuko wa pembejeo kwa Vyama vya Msingi vinavyozalisha zao la tumbaku.

ii.Kufufua kiwanda cha kuchakata Pamba cha KACU Ltd, kilichokuwa kimesimama kufanya kazi kwa miaka ishirini.

iii.kusimamia na kufanikisha mchakato wa uagizaji na usambazaji wa pembejeo za zao la pamba kwa nchi nzima kwa msimu wa 2019/2020 na 2020/2021.

iv.kufanikiwa kulipa malipo ya pili kwa wakulima wa zao la pamba kwa msimu wa 2019/2020.

v.kufanikisha kupungua kwa riba ya Benki katika zao la pamba kutoka asilimia 18% hadi asilimia 2% kwa kutumia L.C (letter of Credit).

MWENYEKITI

CHAMA CHA MSINGI MWADUI
SHINYANGA
06.2011 - 05.2020

i. kuwahamasisha wakulima ambao sio wanachama wa chama cha ushirika kujiunga na chama cha ushirika Mwadui Amcos Ltd.

ii. kusimamia watendaji wa chama cha ushirika cha msingi mwadui kuwa wanaandaa hesabu za chamu na zinakaguliwa kwa wakti kwa kuzingatia sheria ya vyama vya ushirika.

iii. kuhamsisha na kuhakikisha wanachama na wakulima wanaopata huduma chamani kwake wanazingatia njia bora za kilimo cha pamba na tumabaku kwa kusaidiana na maafisa ugani wa eneo husika.

iv. kuhakikisha mwadui Amcos ltd kinakuwa chama cha mfano kwa kushiriki shughuli zote za kiushirika za kimkoa na kitaifa mfano. siku ya Ushirika duniani (SUDI)

MAKAMU MWENYEKITI

KAHAMA COOPERATIVE UNION (KACU)LTD.
Shinyanga.
03.2011 - 04.2014

i. kushiriki katika mchakato wa ufufuaji wa kiwanda cha kuchakata pamba.

ii. kushiriki katika vikao mbalimbali vya wadau wa Sekta ya Pamba na tumbaku nchini.

iii. kushiriki katika vikao vya kujadili mijengeko ya bei ya pamba na tumbaku nchini.

Education

Mazengo Secondary School
Dodoma
04.1996

SHULE YA MSINGI BULIKINDA
MWANZA
12.1992

Skills

  • Matumizi mazuri ya muda
  • Uwezo wa kufanya kazi katika timu
  • Ujuzi katika ushawishi na mawasiliano
  • Uongozi na usimamizi wa miradi
  • Uwezo wa kutatua changamoto kwa ubunifu
  • Uwezo wa kuwasiliana kwa ufasaha na wananchi na viongozi
  • Ufuatiliaji mzuri na umakini kwa taarifa na miradi
  • Kujenga na kudumisha ushirikiano na wadau mbalimbali
  • Uwezo wa kupanga na kutekeleza mikakati ya maendeleo
  • Kuelimisha na kuhamasisha jamii kushiriki maendeleo
  • Uaminifu na uwajibikaji katika utendaji wa majukumu

Accomplishments

1. Mjumbe wa kamati ya siasa wilaya 2021 hadi 2025
2. Mjumbe wa halmashauli kuu ya ccm mkoa wa Shinyanga 2021 hadi 2025
3. Mjumbe wa kamati za kudumu za bunge kilimo Mifugo na maji 2021 hadi 2023
4. Mjumbe kamati ya kudumu ya Bunge maji na mazingira 2023 hadi 2025

Timeline

MBUNGE JIMBO LA USHETU

BUNGE LA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
10.2021 - Current

MWENYEKITI

TANZANIA TOBOCCO COUNCIL.
01.2018 - 09.2021

MWENYEKITI

TOBACCO COOPERATIVE JOINT ENTREPRISE (TCJE)
01.2016 - 10.2021

MJUMBE WA BODI.

TOBACCO RESEARCH INSTITUTE OF TANZANIA (TORITA)
01.2016 - 09.2021

MWENYEKITI

KAHAMA COOPERATIVE UNION LTD.
04.2014 - 08.2021

MWENYEKITI

CHAMA CHA MSINGI MWADUI
06.2011 - 05.2020

MAKAMU MWENYEKITI

KAHAMA COOPERATIVE UNION (KACU)LTD.
03.2011 - 04.2014

Mazengo Secondary School

SHULE YA MSINGI BULIKINDA
EMMANUEL PETER CHEREHANI