Summary
Overview
Work History
Education
Skills
References
Community Service & Volunteer Work
Taarifa za ziada za uzoefu na mafunzo
Uthibitisho
Timeline
background-images

ASYA MOHAMMED MZEE

Zanzibar,15

Summary

Utaalamu; kwa muda wa miaka kumi na tano nimekua nikifanya kazi ndani ya Serikali pamoja na Jamii na wawekezaji katika kufikia malengo waliojiwekea kupitia shughuli mbalimbali za maisha. Nimekua nikifanya kazi ndani ya Baraza la Mji, nikiitumikia Jamii na wawekezaji kwa miaka kumi na tatu ya ajira, nimepata uzowefu wa kutosha katika masuala ya Uongozi, Utawala na Usimamizi, hii ni taaluma ya kipekee ambayo nimeipata na imejumuika katika ujuzi, sifa na utaalamu wangu wa elimu ambayo imechangia kwa kiwango kikubwa katika kuongeza umahiri na ufanisi wa kazi zangu. Katika taasisi za Serikali nilianza kujitolea mnamo mwaka 2009, imenichukua kwa kadri ya miaka miwili kama mfanyakazi wa kujitolea ambae nilifanya kazi Halmashauri ya Wilaya ya Magharibi ambayo kwa sasa ni Baraza la Manispaa Magharibi 'B' na nilifanya kazi kama msaidizi wa mambo ya sheria, na hususan katika kitengo cha uhamasishaji na mkusanyaji mapato. Baadae mnamo mwaka 2011, nikawa ni mfanyakazi kazi wa kuajiriwa rasmi na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Kaskazini 'B' Unguja nikiwa Afisa Sheria wa Halmashauri hiyo na kwa wakati mmoja nikiwa kama mshauri wa masuala ya makusanyo ya mapato. Na kwa kuengezea mimi ni sehemu katika timu ya Uongozi na Msimamizi wa uendeshaji wa maendeleo katika Halmashauri. Kwa msingi huo, naamini kuwa nna ujuzi wa kutosha na uwezo mzuri katika kuweza kufikisha huduma ipasavyo katika kutimiza majukumu yangu ya kazi ikiwaemo kufanya kazi kwa timu na kufanya kazi bila ya msukumo na uelewa katika kutimiza malengo.

Overview

14
14
years of professional experience

Work History

Mkuu wa Kitengo

Baraza la Mji Kaskazini 'B'
02.2020 - Current
  • Najihusisha na kazi zote za Sheria ndani ya Baraza la Mji Kaskazini 'B'

Afisa Sheria

Baraza la Mji Kaskazini 'B'
07.2011 - 02.2020
  • Nilifanya kazi zote za ushauri wa mambo yanayohusiana na Sheria na Uongozi.

Kaimu Mkurugenzi

Halmashauri Wilaya Kaskazini 'B'
03.2018 - 04.2018
  • Nilifanya kazi kama Kaimu Mkurugenzi Halmashauri Wilaya Kaskazini 'B'

Education

Master of Art - Political science

Savitribai Phule Pune University
India
01.2017

Bachelor Degree - LLB

Open University
Tanzania
01.2014

Diploma - Laws

Azania College of Management
Dar es salaam, Tanzania
01.2010

Certificate - Laws

University of Dar es salaam
Dar es salaam, Tanzania
01.2008

Skills

  • Ushauri na upatanisho wa migogoro na mambo ya sheria na uandaaji wa nyaraka za kisheria
  • Afisa Sheria ambae natoa msaada wa kisheria katika jamii kupitia Idara ya msaada wa kisheria
  • Taaluma ya mambo ya mapato, mipango, miradi, na maendeleo, ikiwa na utekelezaji wa kazi za uongozi za Ofisi
  • Uwezo wa kufanya kazi kwa ufanisi kulingana na mazingira na uhusiano wa pamoja na taasisi na watu tofauti pamoja na Jamii na wawekezaji
  • Taaluma ya uzoefu na ujuzi katika michakato na mabadiliko ya uongozi na kiutawala
  • Uelewa juu ya mambo ya Jinsia na ushirikishwaji wa jinsia katika kuleta mabadiliko

References

Tatu, Suleiman Khamis, 0773 668 767, Magomeni Zanzibar

Community Service & Volunteer Work

West B District Council, Legal Officer, 2009-02, 2011-05, Nilifanya kazi kama Afisa Sheria wa Baraza la Mji Kaskazini 'B'

Taarifa za ziada za uzoefu na mafunzo

  • Legal Drafting, Zanzibar, 2017
  • Delegated Prosecutors, 2023.

Uthibitisho

Nathibitisha ya kwamba nilichokieleza katika CV hii ni halali kwa uelewa wangu.

Timeline

Mkuu wa Kitengo

Baraza la Mji Kaskazini 'B'
02.2020 - Current

Kaimu Mkurugenzi

Halmashauri Wilaya Kaskazini 'B'
03.2018 - 04.2018

Afisa Sheria

Baraza la Mji Kaskazini 'B'
07.2011 - 02.2020

Bachelor Degree - LLB

Open University

Diploma - Laws

Azania College of Management

Certificate - Laws

University of Dar es salaam

Master of Art - Political science

Savitribai Phule Pune University
ASYA MOHAMMED MZEE